WIZARA YA AFYA
- Get link
- X
- Other Apps
Yaliyojiri
MAGONJWA YASIYO YAKUAMBUKIZA YACHANGIA ASILIMIA 27 YA VIFO VYOTE NCHINI
Wednesday, January 03, 2018
-
No comments
Kaimu Mkurugenzi magonjwa
yasiyo yakuambukiza Dkt. Sarah Maongezi akisisitiza jambo mbele ya
Waandishi wa Habari (hawapo katika picha) katika kikao kilichofanyika
mapema leo katika ukumbi wa Hospitali ya Saratani ya Ocean Road kikihusu
tuzo ya Elimu...
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA DKT. NDUGULILE ZIKISISITIZA JUU YA WAJIBU WA WATOA HUDUMA ZA AFYA NA MABARAZA YA KITAALUMA PAMOJA NA HAKI ZA WANANCHI KUPATA HUDUMA BORA ZA AFYA.
Sunday, December 31, 2017
-
No comments
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO SALAMU ZA
MWAKA MPYA ZA MHE. NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA,
WAZEE NA WATOTO DKT. FAUSTINE NDUGULILE ZIKISISITIZA...
TANGAZO KWA UMMA
Sunday, December 31, 2017
-
No comments
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO Katibu Mkuu
wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
anawatangazia wanafunzi wote walioko vyuoni wanaosoma masomo ya...
SERIKALI YATARAJIA KUANZISHA BIMA YA AFYA KWA WATU WOTE
Saturday, December 23, 2017
-
No comments
Naibu Waziri Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile
akisisitiza jambo mbele ya baadhi ya Watumishi(hawapo kwenye picha) wa
Taasisi ya Kiuma inayomiliki chuo cha Uuguzi, Kituo cha Afya na...
Wageni Waliojivinjari
© Hakimiliki 2017 Wizara ya Afya Tanzania. Imewezeshwa na Kitengo cha TEHAMA Wizara ya Afya.
- Get link
- X
- Other Apps
Comments
Post a Comment